Jumanne, 16 Mei 2017

Mwalimu Oscar Samba wa Ug Ministry aandaa Mkutano Mkuwa wa Semina ya Neno la Mungu kwa Morombo Arusha Tanzania.

Mwalimu wa Neno la Mungu Oscar Samba,wa Huduma ya Ug Ministry, anakuletea Semina kubwa ya Mkutano wa Neno la Mungu. Itakayofanyika hapa kwa Morombo Mkoani Arusha kuanzia tare 11-19/6/2017. Walete viwete, vipofu na viziwi pamoja na wagonjwa wote ikiwemo wa UKIMWI na Wakoma. Yesu Mtenda miujiza atakwepo katika Mkutano huo. Watu wote mnakaribishwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni