Jumanne, 5 Oktoba 2021

KUPENDA MAFUNDISHO au NENO

 Na Mwalimu Oscar Samba

Ujumbe huu ni sehemu ya kitabu chetu cha NGUVU YA NENO LA MUNGU KWENYE MAISHA YA MWANADAMU, pwenti ya; . PENDA MAFUNDISHO. Kiu ya Mafundisho imepotea kwenye kanisa leo; kuna kiu ya mambo mengine! Hata kwa wale wenye kiu ya Kiungu, wamejikuta wakitekwa na misisimko wa wahubiri wenye mbwembwe na kujisifia mali, na vitu vya dunia hii sanjari na ujanja wa maneno kuliko neno la kweli na yale yenye maarifa ya kiungu ndani yake. Itisha semina ya VIKOBA au ujasiriamali kanisani, utashangaa hata mwenye wiki tatu ambaye hajaja kanisani atakavyowahi, siku hiyo hakuna mchelewaji! Tuendelee;

Mahubiri, mawaitha ya Yesu,