SIPENDI SANA KUSHAMBULIA IMANI NYINGINE..ila tunapaswa kuwa Makini sana na Wahuni walioivamia kazi ya MUNGU wakifanya vituko kwa vigezo vya Ufunuo... Wewe Mshirika usiweke akili mfukoni na kukubali kukubaliana na kila kitu kisa kimetoka kwa mtumishi anayejiita wa Mungu kwa kisingizio cha Ufunuo..
Ndio maana watu wananyweshwa hadi Jick ya kuondolea madoa kwenye nguo, waDada wanatomaswa viungo vyao na kupakwa mafuta sehemu nyeti..ukiuliza unaambiwa alifunuliwa!
Maji na Mafuta vimegeuka kuwa uganga wa Kilokole siku hizi..Yesu hapewi heshima bali ni maji yaliniponya, mafuta ya upako yalinisaidia sana..Imani kwa Yesu hakuna tena.