Jumamosi, 3 Juni 2017

Usikose Somo la Kesho, "AGANO LA CHUMVI" Ni Ujumbe unaolenga kuwasaidia Watumishi wa Mungu hususani wale wa Madhabauni kwani Agano hli ni lile ambao Mungu alifunga na Haruni na watoto wake na linashabaha ya kuwasaidia ama linatoa mfumo wa Mungu wakuwatunza watumishi wake kwani kumekuwa na kilio kikubwa cha Maisha Magumu kwa baathi ya watumishi wa Madhabauni huku sababu ikiwa ni Wao kutokujua Mfumo ambao Mungu amewawekea kwa kifupi ni wao kukaa nje ya System ya Mungu. Kumbuka ni Kesho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni