Jumapili, 4 Desemba 2022

Mabadiliko Machache RATIBA ZA MIKUTANO YETU (iliyosalia)

Hadi sasa tangu mwezi wa 7/2022 tupo kwenye mkutano wa 19 18. Kitasha Kakfua (Chekechea) 23-27/11/2022 19. Kitasha; Shule ya Msingi Roya, (umeandaliwa na Kanisa la PSMA) 30/Nov -4/Dec /2022 20. Ubaa, Ushiri. 7-11/12/2022 21. Sio Makalema tena, (badala ya Yamerejea Mamsera ktk Kanisa la Kingdom kwa Mch Daniel.) 14-18/12/2022 22. Himo, 21-25/12/2022 (Moshi Vjjn) 23. Kinyauli, Kerio Mashati. 2-8/1/2022 Mingine Rombo Klnjaro. Na Mwl. O. Samba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni