Jumanne, 26 Februari 2019

Je, unajua maana ya hili andiko? Isaya 55:12 Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya kondeni itapiga makofi.


Katika kitabu changu, cha Roho Mtakatifu, utaipata, maana pia twa juzwa kuwa na Amani ya Kristo iamuwe mioyoni mwenu, kumbe Roho hutuongoza kupitia njia moja wapo ya Amani yake, ili kufahamu njia zaidi, usikose kukipata hicho kitabu, ambacho kipo jikoni hivi sasa, kiombee kiwive vyema, Amen.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni