Alhamisi, 11 Julai 2019

Mtu moja kauliza Hivi ! Hivi wakisema sisi hatupo chini ya sheria tupo chini ya Neema nini maana yake hasa?

Nami nimemjbu kwa kifupi sana, na kwa kirefu kipo kitabu chetu kiitwacho, YESU KAMA KWELI NA NEEMA, Jibu:
Ni kuongozwa na Roho Mtakatifu; Wagalatia 5:23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
25 Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa RohMtu moja kauliza Hivi !
Hivi wakisema sisi hatupo chini ya sheria tupo chini ya Neema nini maana yake hasa?

Nami nimemjbu kwa kifupi sana, na kwa kirefu kipo kitabu chetu kiitwacho, YESU KAMA KWELI NA NEEMA, Jibu:

📖 Ni kuongozwa na Roho Mtakatifu; Wagalatia 5:23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
25 Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho.

Kazi moja wapo ya sheria ni kukujulisha lipi baya na jema, sasa neema inakujulisha baya na jema, na kukuwezesha au na kukupa nguvu ya kuepukana na baya , ukisoma Warumi tano hadi nane utaelewa zaidi !

Laini penye Roho Mtakatifu, pana sheria ! Ila utofauti yake ni kwamba ni katika Roho, ndiposa huitwa sheria ya Roho wa Uzima, ikimaanisha kuwa kuna neema ndani yake; Warumi 8:2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni