Jumamosi, 16 Septemba 2023

Neno la Leo #Nenola Leo #NenolaMungu #NenolaBiblia #Ujumbe waSiku

 

Neno la Leo ( #NasahazaMwlOscar )
#FaidayaJaribu:

Waebrania 4:2 Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa habari njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.

:6 Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia humo, na wale waliohubiriwa habari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,..

:7 aweka tena siku fulani, akisema katika Daudi baada ya muda mwingi namna hii, Leo; kama ilivyonenwa tangu zamani, Leo,kama mtaisikia sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu.

Usiufanye Mgumu Moyo Wako..(Safari ya Wokovu Ni Kila Siku) Hakikisha Unafanya Matengenezo Kila Uonapo Dosari Maishani Mwako..ikihubiriwa Injili Usiikatae, na Usiseme Wananisema... Shinda Vikwazo Ili Uingie Rahani Mwake Yesu..

http://www.ukombozigospel.blogspot.com
Kundi letu la WhatsApp https://chat.whatsapp.com/E0eD0xegh1eIGMjRykPyRD
Telegram https://t.me/+fft3GHXC9xIzYjhk
Subscribe YouTube yetu: https://www.youtube.com/@ukombozigospeltv
Kwa Maombi +255759859287
Usiache Kutembelea na Ku-Like Page Yetu Ya Mafundisho ya Neno la Mungu Facebook: https://www.facebook.com/MafundishoyanenolaMungunamwalimuoscarsamba?mibextid=ZbWKwL

Nikutakie Siku Njema

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni