Jumamosi, 15 Julai 2023

Neno la Leo Ujira waKahaba au Fedhaa ya Sadaka Isiyo Halali

 Neno la LEO


Kumbukumbu la Torati 23:18 Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya Bwana, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yo yote; kwani haya ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako, yote mawili.


 *Sadaka Ambayo Mapato Yake Siyo Halali Haikubaliki Mbele za BWANA na ni Machukizo*


Nikutakie Umakini ktk Utoaji


Pia na Siku Njema


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni