Alhamisi, 27 Julai 2023

Neno la Leo, Amani Moyoni

 

Neno la Leo

Zaburi 119:165 Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.

*Jifunze Kupendezwa na Sheria au Neno au Maelekezo Yenye Kukutaka Kutokutenda.. ama Kutenda yaliyo ya Mungu. Ukifanya hivyo ndipo Amani Yake Itakukalia...Kwa hiyo; Ukiona Unafanya Jambo na huna Amani, jitazame km Moyoni Mwako Umependezwa nayo..*

www.ukombozigospel.blogspot.com

Nikitakie Siku Yenye Baraka na Amani Nafsini..


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni