Umenza tarehe 19 hadi 23 (jumatano hadi jumapili) 2023
Ujumbe: UFALME WA MBINGUNI UMEKARBIA. Mathayo 3:2
Umenza tarehe 19 hadi 23 (jumatano hadi jumapili) 2023
Ujumbe: UFALME WA MBINGUNI UMEKARBIA. Mathayo 3:2
Ujumbe wa Mkutano huu ulikuwa ni UPENDO WA MUNGU KWA MWANADAMU
Tukuongozwa na Andiko la Yohana 3:16.
Tazama Baadhi ya Picha za Matukio
![]() |
Picha hii na Zifanazo na hii ni Watu Waliotoka kwa Ajili ya Kuokoka na Maombezi |
![]() |
Picha hii na hiyo tangulizi hapo juu ni Waimbaji wakiimba Wimbo wa Kichaga na Kucheza "Iriingi". |
tupo kwenye mkutano wa 18
18. Kitasha Kakfua (Chekechea)
Unaendelea 23-27/11/2022
19. Kitasha; Shule ya Msingi Roya,
(umeandaliwa na Kanisa la PSMA)
30/Nov -3/Dec /2022
20. Ubaa, Ushiri. 7-10/12/2022
21. Mamsera Sokoni. 14-17/12/2022
22. Kinyauli, Kerio Mashati. 2-7/1/2022
Ni Rombo Klnjaro. Na Mwl. O. Samba
Kata ya Shimbi
1. Shuleni KwaSondo 11-24 June 2022
2. Shuleni Kwaikuru 15-19 June 2022
3. Kwa Rogati 22-28 June 2022
Majira ya 10:30 Jioni
![]() |
Mathayo 6:8. |