Ukifungwa Macho, Usikae Chini: Tafuta Fimbo, "and Walk by Sense."
By Mwalimu Oscar Samba
*Ujumbe wa Leo*
Chumvi Ndani Yetu (Roho Mtakatifu/Ushuhuda wa Kristo/Utakatifu/Utu Wema
Hutuwezesha Kukaa Kwa Amani Baina Yetu (Sisi kwa Sisi)
Kwa hiyo, Tukipoteza Umoja, Mapendano Baina ya Ndugu, ni ishara ya kwamba Hatuna Chumvi. Au Magomvi Baina Yetu, Hutuondolea Chumvi.
Marko 9:50 Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Mwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa *amani ninyi kwa ninyi.*
Salt is good: but if the salt have lost his saltness, wherewith will ye season it? Have salt in yourselves, and have peace one with another.
By Mwalimu Oscar Samba
Zaidi Soma: https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1
Ni kwa Njia ya PDF free. Zidi Kutuombea
Utakipata kwa Namba hizi hapa kwa WhatsApp +255759859287
Andika Neno Vitabu
Utatumiwa na Vitabu Vinginevyo Vingi vya Mwl. Oscar Samba
Any Good Preacher Should Remember This: We Are Still Learning, We Are Still Teaching.
It will help us from too much self condemnation.
By Mwalimu Oscar Samba
Zaidi Tembelea:
https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1
#quote #t #teaching #learning #Oscarsambaquotes #preacher
Usipotumia Nguvu Nyingi Katika Maombi, ili Kuyashinda Majaribu: Utalazimika Kutumia Jitihada Nyingi Katika Kuyavumilia na Kukabiliana Nayo.
By Mwalimu Oscar Samba
Zaidi Tembelea: https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1
"Tusiwasukumie Watoto Wetu Kwenye Utumishi ili Wamjue Mungu. Bali Tuwasaidie Kwanza Kumjua Mungu Ndipo Wamtumikie."
By Mwalimu Oscar Samba
Utaukuta Kwenye Kiatabu Chetu cha
UMUHIMU WA KUMJUA NA KUMPENDA MUNGU KAMA MTOTO AU KIJANA CHOPUKIZI.
Zaidi Tembelea: www.ukombozigospel.blogspot.com
Dunia Ina Makundi Mawili ya Ndugu: Ana Akili Sana, Tumtenge, Tumchukie, Tumnyime Nafasi Asije Akapata Kibali Kuliko Sisi. Ana Akili Nyingi, Tumpe Nafasi Atatusaidia Miaka Saba ya Njaa.
Mara Nyingi Kundi la Kwanza Huwa Linatangulia. Usikubali Likakuvunja Moyo; Wape Muda Tu, Na Kundi la Pili Litakuja.
By Mwalimu Oscar Samba
Utakutana na Ujumbe huu kwenye Kitabu Chetu Kipya Kinachoandikwa Hivi Sasa cha UMUHIMU WA KUMPENDA NA KUMJUA MUNGU KWA MTOTO AU KIJANA CHIPUKIZI
NA Mwl Oscar Samba
Andiko hili linagusa nyanya zote muhimu kwako wewe kama mtumishi wa Mungu. Mosi ni eneo la kifamilia yaani baba mama na watoto au ndugu zako wengine. Pili eneo la kiserikali, anaposema muheshimu mfalme, hapo pia pana gusa viongozi wako wa kikanisa, viongozi wa kiroho na hata wakitaasisi au kampuni. Kwa ujumla ni kuheshimu utawala.
Anatupa dhima ya kumcha Mungu, kumpa Mungu heshima yake. Nasi twajua habari za kumcha Mungu! Ya kwamba ni kumuhofu, kuukataa na kuuchukia ovu. Yusufu akasema nitendeje uovu huu ni mkose Mungu? Linaanza na kukutaka kutoa heshima kwa watu wote. Bila kubagua umri, dini, ama kabila na kadhalika. Anasema katika watu wote.
1 Petro 2:17 Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.
Zaidi Soma: www.ukombozigospel.blogspot.com
The Ahmadiyya is an Islamic reform movement that originated in British India in 1889. Its members believe that Mirza Ghulam Ahmad (1835-1908) was the promised Messiah and Mahdi.