Alhamisi, 27 Machi 2025

Amani na Umoja ni Nguvu, na Ni Ishara ya Upako

*Ujumbe wa Leo* 


Chumvi Ndani Yetu (Roho Mtakatifu/Ushuhuda wa Kristo/Utakatifu/Utu Wema


Hutuwezesha Kukaa Kwa Amani Baina Yetu (Sisi kwa Sisi)


Kwa hiyo, Tukipoteza Umoja, Mapendano Baina ya Ndugu, ni ishara ya kwamba Hatuna Chumvi. Au Magomvi Baina Yetu, Hutuondolea Chumvi.


Marko 9:50 Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Mwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa *amani ninyi kwa ninyi.* 


 Salt is good: but if the salt have lost his saltness, wherewith will ye season it? Have salt in yourselves, and have peace one with another.


By Mwalimu Oscar Samba


Zaidi Soma: https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1

Jumamosi, 22 Machi 2025

Kitabu cha CHAKUFANYA UKIWA NJIA PANDA, Kitakufikia Punde.

 

Ni kwa Njia ya PDF free. Zidi Kutuombea

Utakipata kwa Namba hizi hapa kwa WhatsApp +255759859287

Andika Neno Vitabu

Utatumiwa na Vitabu Vinginevyo Vingi vya Mwl. Oscar Samba 

Jumatano, 19 Machi 2025

Quote of Teacher Oscar Samba in Learning and Teaching

 











Any Good Preacher Should Remember This: We Are Still Learning, We Are Still Teaching.

It will help us from too much self condemnation.


By Mwalimu Oscar Samba

Zaidi Tembelea:

https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1

#quote #t #teaching #learning #Oscarsambaquotes #preacher

Jumanne, 18 Machi 2025

Nukuu ya Mwalimu Oscar Samba MAOMBI DHIDI YA JARIBU


Usipotumia Nguvu Nyingi Katika Maombi, ili Kuyashinda Majaribu: Utalazimika Kutumia Jitihada Nyingi Katika Kuyavumilia na Kukabiliana Nayo.

 

By Mwalimu Oscar Samba 


Zaidi Tembelea: https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1

Jumamosi, 15 Machi 2025

Mwl Oscar Samba Nukuu ya Watoto au Kijana ama Vijana Chipukizi na Utumishi

 

Kumjua Mungu na Kumpenda


































"Tusiwasukumie Watoto Wetu Kwenye Utumishi ili Wamjue Mungu. Bali Tuwasaidie Kwanza Kumjua Mungu Ndipo Wamtumikie."

By Mwalimu Oscar Samba 

Utaukuta Kwenye Kiatabu Chetu cha 

UMUHIMU WA KUMJUA NA KUMPENDA MUNGU KAMA MTOTO AU KIJANA CHOPUKIZI.

 Zaidi Tembelea: www.ukombozigospel.blogspot.com

Mwalimu Oscar Samba Nukuu ya Wanaokufuatilia

 


Mwalimu Oscar Samba Nukuu, KUKATALIWA NA KUKUBALIWA

 

Dunia Ina Makundi Mawili ya Ndugu: Ana Akili Sana, Tumtenge, Tumchukie, Tumnyime Nafasi Asije Akapata Kibali Kuliko Sisi. Ana Akili Nyingi, Tumpe Nafasi Atatusaidia Miaka Saba ya Njaa.


Mara Nyingi Kundi la Kwanza Huwa Linatangulia. Usikubali Likakuvunja Moyo; Wape Muda Tu, Na Kundi la Pili Litakuja.

By Mwalimu Oscar Samba

Alhamisi, 13 Machi 2025

Andiko Muhimu Katika Biblia

 Utakutana na Ujumbe huu kwenye Kitabu Chetu Kipya Kinachoandikwa Hivi Sasa cha UMUHIMU WA KUMPENDA NA KUMJUA MUNGU KWA MTOTO AU KIJANA CHIPUKIZI

NA Mwl Oscar Samba 

Andiko hili linagusa nyanya zote muhimu kwako wewe kama mtumishi wa Mungu. Mosi ni eneo la kifamilia yaani baba mama na watoto au ndugu zako wengine. Pili eneo la kiserikali, anaposema muheshimu mfalme, hapo pia pana gusa viongozi wako wa kikanisa, viongozi wa kiroho na hata wakitaasisi au kampuni. Kwa ujumla ni kuheshimu utawala. 

Anatupa dhima ya kumcha Mungu, kumpa Mungu heshima yake. Nasi twajua habari za kumcha Mungu! Ya kwamba ni kumuhofu, kuukataa na kuuchukia ovu. Yusufu akasema nitendeje uovu huu ni mkose Mungu? Linaanza na kukutaka kutoa heshima kwa watu wote. Bila kubagua umri, dini, ama kabila na kadhalika. Anasema katika watu wote.

1 Petro 2:17 Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.



Zaidi Soma: www.ukombozigospel.blogspot.com

Jumanne, 4 Machi 2025

Kwenye Jina Tanzania Kuna Dini Fulani Imejumuishwa Hapo

 The Ahmadiyya is an Islamic reform movement that originated in British India in 1889. Its members believe that Mirza Ghulam Ahmad (1835-1908) was the promised Messiah and Mahdi.