Kuna Kitu Kimoja Watu Wengi Wanakisahau; Sii Lazima Aliyekufanyia Wema: Awe Mwema kwa Kila Mtu. Alikadhalika Aliyekufanyia Ubaya Wewe Awe Mbaya kwa Kila Mtu. Na Aliyekutendea Wema Huo Awali, Sii Hakikisho la Yeye Kudumu Kuwa Mwema Kwako kila Wakati.
(Tuepuke Kuwatetea Watu, Kwa Kuwa Kwetu Ni Wema, Nakuziba Masikio Pale Wanaoonewa Wakilia.) Tuepuke Pia Kulazimisha Wanaokuonea Kuonekana Wabaya Kwa kila Mtu. By Mwalimu Oscar Samba

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni