*Ujumbe wa Leo*
Chumvi Ndani Yetu (Roho Mtakatifu/Ushuhuda wa Kristo/Utakatifu/Utu Wema
Hutuwezesha Kukaa Kwa Amani Baina Yetu (Sisi kwa Sisi)
Kwa hiyo, Tukipoteza Umoja, Mapendano Baina ya Ndugu, ni ishara ya kwamba Hatuna Chumvi. Au Magomvi Baina Yetu, Hutuondolea Chumvi.
Marko 9:50 Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Mwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa *amani ninyi kwa ninyi.*
Salt is good: but if the salt have lost his saltness, wherewith will ye season it? Have salt in yourselves, and have peace one with another.
By Mwalimu Oscar Samba
Zaidi Soma: https://ukombozigospel.blogspot.com/?m=1
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni