"Ubarikiwe sana mwalim Oscar Samba, kwa kitabu hiki, kimenitia moyo sana kwa hali ninayopitia saiv chuoni, Siku sita nyuma nimekuwa mtu wa kuchoka, kuwa na mawazo mengi na kuhuzunika sana na kukata tamaa, nimekosa amani kulingana na Nafsi niliyonayo katika huduma ya Yesu kristo. Ila jana usiku roho inalisii na kunisisitiza kusoma kitabu hiki, nimekisoma hadi sa nane usk asubuhi nimekimaliza, kweli Mungu akubariki kwa huduma hii, niliwaza hadi kuachia nafasi niliyonayo ya huduma ili nipambane na masomo, ila najikuta nina nguvu za kusimama kuwaongoza tena watu ambao Mungu amenipa kuwaongoza, nimengi sana ya kusema Ahsante sana Mungu kwa neema ya kunikutanisha na Mwalimu Oscar Samba, Mungu akubariki na kukuinua kwa kazi hii.
Tuzidi kuombeana
Kesho yangu ni bora kuliko leo yangu, sitakubari kuzimia Moyo, Licha ya changamoto ninazopitia"
Ukikihitaji Kitabu Niandikie Ujumbe huu Wasapu +255759859287
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni