Blogu hii inamilikiwa na Huduma ya Ug, Ukombozi Gospel ambayo ni Huduma ya Ualimu wa Neno la Mungu na Kimisheni. Tunalenga kukupasha habari za huduma hii na Mafundisho ya Neno la Mungu au Mahubiri.
KURASA
▼
Alhamisi, 20 Aprili 2023
Jana tulianza Mkutano wetu hapa KWA TOKORA katika Kijiji cha MACHAME ALENI Keni Rombo Kilimanjaro Tanzania
Umenza tarehe 19 hadi 23 (jumatano hadi jumapili) 2023
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni