Blogu hii inamilikiwa na Huduma ya Ug, Ukombozi Gospel ambayo ni Huduma ya Ualimu wa Neno la Mungu na Kimisheni. Tunalenga kukupasha habari za huduma hii na Mafundisho ya Neno la Mungu au Mahubiri.
KURASA
▼
Jumamosi, 3 Juni 2017
Usikose Somo la Kesho, "AGANO LA CHUMVI" Ni Ujumbe unaolenga kuwasaidia Watumishi wa Mungu hususani wale wa Madhabauni kwani Agano hli ni lile ambao Mungu alifunga na Haruni na watoto wake na linashabaha ya kuwasaidia ama linatoa mfumo wa Mungu wakuwatunza watumishi wake kwani kumekuwa na kilio kikubwa cha Maisha Magumu kwa baathi ya watumishi wa Madhabauni huku sababu ikiwa ni Wao kutokujua Mfumo ambao Mungu amewawekea kwa kifupi ni wao kukaa nje ya System ya Mungu. Kumbuka ni Kesho
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni