Blogu hii inamilikiwa na Huduma ya Ug, Ukombozi Gospel ambayo ni Huduma ya Ualimu wa Neno la Mungu na Kimisheni. Tunalenga kukupasha habari za huduma hii na Mafundisho ya Neno la Mungu au Mahubiri.
KURASA
▼
Jumatatu, 19 Juni 2017
RATIBA YA MIKUTANO YETU KUANZIA MWEZI WA 7 MWAKA HUU 2017 NA KUENDELEA
MWEZI WA 7, TUTAKWEPO ROMBO KWENYE VIWANJA VYA SOKO LA MAMSERA NA MANDA PALE SOKONI KILESI. MWEZI WA 8 AU WA 9 TUTAKWEPO TANGA. NA MWEZI 3 MWAKA 2018 TUTAKWEPO KWENYE VIWANJA VYA RELI HAPA MKOANI ARUSHA. BAADA YA HAPO TUTAELEKEA ZANZIBAR ENEO LA DARAJANI KWENYE KIWANJA KILICHOPO MKABALA NA DARAJANI HOTELI. KUMBUKA MIKUTANO YOTE HIYO NI YA SEMINA YA NENO LA MUNGU. ILA KATKA MWAKA HUU PIA TUTAELEKEA KARATU NA TUTAKUJUZA TAREHE.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni