Blogu hii inamilikiwa na Huduma ya Ug, Ukombozi Gospel ambayo ni Huduma ya Ualimu wa Neno la Mungu na Kimisheni. Tunalenga kukupasha habari za huduma hii na Mafundisho ya Neno la Mungu au Mahubiri.
KURASA
▼
Jumamosi, 29 Aprili 2017
SHIRIKI BARAKA KWA KUWEZESHA MKUTANO WA SEMINA YA NENO LA MUNGU KWENYE HUDUMA YA UG Inayoongozwa na Mwalimu wa Neno la Mungu Oscar Samba, Itafanyika Kwa Mrombo Mkoani Arusha Tanzania mwezi wa sita mwaka huu. Toa sadaka yako na Mungu atakubariki. Waweza tuma kwa njia ya M-PESA +255 759 859 287
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni